sw_tn/psa/105/016.md

460 B

Akaamuru njaa

"Alituma". Hii ina maana ya kwamba alisababisha njaa kutokea katika nchi.

akiba yote ya mkate

Hapa "mkate" ina maana ya chakula kwa ujumla. "akiba yote ya chakula"

Alimtuma mtu mbele yao; Yusufu

Inaweza kusaidia kuandika ya kwamba alimtuma mbele yao Misir. "Alimtuma mwanamume mbele yao Misri; alimtuma Yusufu ambaye"

Yusufu aliuzwa kama mtumishi

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Ndugu za Yusufu alimuuza kama mtumwa"