sw_tn/psa/104/008.md

606 B

Milima ikainuka, na mabonde yakasambaa

Hapa mtunga zaburi anazungumza juu ay Mungu kusababisha milima na mabonde kusogea na kubadilika kana kwamba zilichagua kusogea zenyewe. Inaelezewa kwa njia hii kusisitiza uwezo wa Mungu.

mpaka kwa ajili yao ili wasivuke

Hapa mtunga zaburi anazungumza juu ya Mungu kusababisha maji kutovuka mpaka ambao alitengeneza kwa ajili yao kana kwamba maji yenyewe yalichagua kutovuka. Yaneelezewa kwa naman hii kusisitiza mamlaka ya Mungu juu yao. "mpaka kwa ajili yao ambao hawawezi kuvuka"

mpaka

"mstari" au "mpaka"

kwa ajili yao

Neno "yao" ina maana ya maji.