sw_tn/psa/102/023.md

412 B

amechukuwa nguvu yangu

Daudi anazungumzia Mungu kumsababisha kuwa mnyonge kana kwamba nguvu yake ni kitu cha kihalisia kinachoweza kuondolewa kutoka kwake. "amenisababisha kuwa mnyonge"

siku zangu

Neno "siku" hapa linamaanisha maisha. "maisha yangu"

usichukue

Daudi anamwomba Mung asimwache afe. "usinitoe kutoka duniani" au "usiniache nife"

upo hapa katika vizazi vyote

"uko katika vizazi vyote"