sw_tn/psa/102/017.md

193 B

fukara

Hii inamaanisha watu fukara.

hatakataa maombi yao

"Yahwe atakubali maombi yao"

Hii itaandikwa kwa ajili ya vizazi vya baadaye

"Nitaandika hii kwa ajili ya vizazi vya baadaye"