forked from WA-Catalog/sw_tn
646 B
646 B
kuwa na huruma juu ya Sayuni
Hapa "Sayuni" inamaanisha watu wanaoishi Sayuni. "kuwa na huruma na watu wanaoishi Sayuni"
juu yake
Neno "yake" inamaanisha Sayuni.
hushika mawe yake karibu
"Mawe" inamaanisha mawe yaliyokuwa sehemu wa kuta za mji kabla ya kuangamizwa. "bado wanapenda mawe yaliyokuwepo katika kuta za mji"
jina lako
Hapa "jina lako" linamaanisha Yahwe. "wewe"
wataheshimu utukufu wako
Watu watumheshimu Yahwe kwa sababu ya utukufu wake. Hapa Yahwe anazungumziwa kwa utukufu wake. "watakuheshimu wewe kwa sababu una utukufu"
atatokea katika utukufu wake
"ataonekana kama mtukufu" au "watu wataona utukufu wake"