sw_tn/psa/102/001.md

335 B

Taarifa ya Jumla:

Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.

aliyeteswa

Hii inamaanisha mtu aliyeteswa. "mtu aliyeteswa"

anapolemewa

"dhaifu" au "mnyonge"

kumwaga maombolezo yake mbele ya Yahwe

Jinsi mtu anavyoeleza maombolezo yake inafananishwa na kumwaga kimiminiko. "anaeleza huzuni yake kwa uhuru kwa Yahwe"