forked from WA-Catalog/sw_tn
919 B
919 B
bahari ... bahari
Tafsiri zingine zinasoma "mafuriko ... mafuriko." Neno hili mara nyingi humaanisha mto, lakini "bahari ... bahari" limechaguliwa hapa kwa sababu mabahari, na sio mito, huwa ina "mawimbi" yenye "kishindo na kuunguruma."
zimeinua sauti zao; mawimbi ya bahari ya kishindo na kuunguruma
Mwandishi wa zaburi anazungumzia bahari kana kwamba ni mtu anayeweza kuzungumza. "zimefanya sauti kuu kwa sababu mawimbo yao yana kishindo na kuunguruma"
kuunguruma
kupaza sauti ndefu ya kelele.
Juu ya vishindo vya mawimbi mengi, mawimbi makubwa yaumkayo ya bahari
Msemo huu "wavunjaji wakuu wa bahari" inamaana moja na "mawimbi mengi" na inasisitiza jinsi mawimbi yalivyo. "Juu ya vishindo vya mawimbi makubwa ya baharini"
mawimbi makubwa yaumkayo
mawimbi makubwa yajayo kwenye nchi
Aliye juu
Mwandishi wa zaburi anazungumzia mahali anapoishi Mungu kana kwamba palikuwa juu ya nchi. "mbinguni"