forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
847 B
Markdown
24 lines
847 B
Markdown
# Wenye haki watastawi kama mtende
|
|
|
|
Maana zinazowezekana ni kwamba watu wenye haki watakuwa kama mtende wenye afya kwa sababu 1) watakuwa imara au 2) wataishi muda mrefu.
|
|
|
|
# wataota kama mti wa seda ya Lebanoni
|
|
|
|
Maana zinazowezekana no kwamba watu wenye haki watakuwa kama mti wa seda unaoota katika nchi ya Lebanoni kwa sababu 1) watakuwa imara au 2) watu watawaheshimu.
|
|
|
|
# Wamepandwa
|
|
|
|
"Yahwe amewapanda" au "Yahwe anawatunza kana kwamba ni miti aliyoipanda"
|
|
|
|
# katika nyumba ya Yahwe ... katika nyua za Mungu wetu
|
|
|
|
Mwandishi wa zaburi anawazungumzia watu wanaomwabudu Mungu kwa ukweli kana kwamba walikuwa miti inayoota katika nyumba ya Yahwe.
|
|
|
|
# wanastawi
|
|
|
|
Mwandishi wa zaburi anawazungumzia watu wenye haki kana kwamba ni miti yenye afya. "wanakua vizuri" au "wana nguvu sana"
|
|
|
|
# katika nyua za Mungu wetu
|
|
|
|
katika baraza la hekalu Yerusalemu.
|