sw_tn/psa/089/038.md

636 B

umekatata na kutupa

"umemkataa na kumtupa mfalme"

na mfalme wako mtiwa mafuta

"na mfalme uliye mchagua"

Umekanusha agano la mtumishi wako

"Umelikataa agano"

umetia najisi taji lake ardhini

Kusukuma ardhini au mavumbini ni ishara ya aibu kubwa. "umetia najisi taji lake ardhini" au "Umesababisha taji lake kuanguka mavumbini"

taji lake

Hii inawakilishwa uwezo wa mfalme kama mfalme na haki yake ya kutawala.

Umevunja chini kuta zake zote. Umeharibu ngome zake

Hii inadokeza kuwa Mungu aliwaruhusu adui zake kuangamiza ulinzi wa Yerusalemu. "Umewaruhusu adui kuvunja chini kuta na kuharibu ngome katika Yerusalemu"