sw_tn/psa/089/030.md

350 B

watoto wake

"uzao wa Daudi"

nitaadhibu uasi wao kwa fimbo

Mungu kuadhibu uzao wa Daudi inazungumziwa kana kwamba atawapiga kwa fimbo. "nitawaadhibu kwa kuasi dhidi yangu"

na udhalimu wao kwa mapigo

Mungu kuadhibu uzao wa Daudi inazungumziwa kana kwamba Mungu atawapiga kiuhalisia. "na nitawaadhibu kwa sababu wametenda dhambi dhidi yangu"