sw_tn/psa/088/007.md

607 B

Gadhabu yako ni nzito kwangu

Hii inazungumzia jinzi Mungu alivyo na hasira sana na mwandishi kana kwamba gadhabu ya Mungu ni kitu kizito kilicho juu ya maji. "Ninahisi hasira yako kuu" au "Ninahisi jinsi ulivyo na hasira kali na mimi"

njia zako zote zinanikandamiza

Hii inazungumzia Mungu kuwa na hasira sana na mwandishi kana kwamba hasira ya Mungu ni mawimbi makubwa yanayoinuka kutoka baharini na kutua kwa mwandishi.

Sela

Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki.