sw_tn/psa/086/013.md

414 B

Kwa kuwa uaminifu wako wa agano ni mkuu kwangu

"Kwa kuwa wewe ni mwaminifu kwangu kwa sababu ya agano lako"

umeokoa maisha kutoka vilindi vya kuzimu

Hii haimaanishi kuwa Mungu alimfufua baada ya kufa. Inamaanisha kuwa Mungu alimwokoa alipotaka kufa.

wenye kiburi

"watu wenye kiburi"

wameinukadhidi yangu

"wanakuja pamoja kunidhuru"

wanatafuta maisha yangu

Hii ni njia ya kusema wanataka kumuua.