sw_tn/psa/086/010.md

879 B

mambo ya ajabu

"vitu vizuri sana vinavyo tushangaza"

wewe pekee ni Mungu

"wewe ndiye Mungu pekee"

Nifundishe njia zako, Yahwe. Kisha nitatembea katika kweli yako

Mtu anayetii kile ambacho Mungu anataka anazungumziwa kana kwamba anatembea katika njia au barabara la Mungu. "Nifundishe ukweli wako, Yahwe. Kisha nitatii unachosema"

Unganisha moyo wako kukucha wewe

Hapa "moyo" unawakilisha mawazo, hisia na nia ya mtu. Kumwomba Mungu kumsababisha mtu kumtii kikamilifu inazungumziwa kana kwamba moyo wa mtu ulikuwa katika vipande vingi na kwamba Mungu anaviunganisha pamoja. "Nisababishe nikuheshimu kwa moyo wangu wote" au "Nisababishe nikuheshimu kwa dhati"

nitakusifu kwa moyo wangu wote

Hapa "moyo" unawakilisha mawazo, hisia na nia ya mtu. "Nitakusifu kikamilifu na kwa dhati"

nitalitukuza jina lako

Hapa "jina" linamwakilisha mtu mzima. "nitakutukuza"