sw_tn/psa/086/001.md

249 B

Taarifa ya Jumla:

Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.

maskini na niliye kandamizwa

"mnyonge na mhitaji"

mwokoe mtumishi wako

Daudi anajizungumzia kama "mtumishi wako," yaani, mtumishi wa Mungu. "niokoe mimi, mtumishi wako"