sw_tn/psa/085/003.md

754 B

Umeondoa gadhabu yako yote

Mungu kutowaadhibu tena Waisraeli inazungumziwa kana kwamba gadhabu ni kitu ambacho Yahwe anaweza kuondoa kutoka kwa Waisraeli.

umegeuka kutoka katika hasira yako ya moto

Mungu kutokuwa na hasira tena na Waisraeli inazungumziwa kana kwamba hasira ni moto kutoka kwa Mungu ambao Mungu ameuguza.

Mungu wa wokovu wetu

"Mungu anayetuokoa"

achia chuki uliyonayo kwetu

Kumwomba Mungukuacha kuwa na hasira na Waisraeli inazungumziwa kana kwamba chuki ni kitu ambacho mwandishi anataka Mungu aachie.

Je! Utakuwa na hasira na sisi milele? Utabaki na hasira katika vizazi vyote?

Mwandishi anatumia maswali haya kusisitiza kwamba anamwomba Mungu kuacha kuwa na hasira nao. "Tafadhali usibaka na hasira na sisi milele."