sw_tn/psa/084/011.md

535 B

Kwa kuwa Yahwe Mungu ni jua letu na ngao

Yahwe anayewaongoza na kuwalinda watu wake anazungumziwa kana kwamba alikuwa jua na ngao. "Kwa kuwa Yahwe hutuongoza kama mwanga wa jua, na hutulinda kama ngao"

Yahwe atatoa neema na utukufu

"Yahwe atakuwa na huruma kwetu na kutupa heshima"

wanaotembea katika uadilifu

Jinsi mtu anavyoenenda maisha yake inazungumziwa kana kwamba mtu huyo alikuwa akitembea. "wanaoishi kwa uadilifu" au "walio wa kweli"

amebarikiwa mtu

Hapa "mtu" inamaanisha mtu kwa ujumla. "wamebarikiwa wale"