sw_tn/psa/083/008.md

308 B

Ashuri

Hii inawakilishwa watu wa ashuri. "watu wa Ashuri"

uzao wa Lutu

Hii inamaanisha watu wa mataifa ya Moabu na Amoni.

Sela

Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki.