sw_tn/psa/082/006.md

470 B

Nyie ni miungu, na nyie wote ni wana wa Aliye juu

Hapa "miungu" inamaanisha kundi sawa na la Zaburi 82:1. Kama hii inamaanisha viumbe wa kiroho au binadamu, sio miungu kama Yahwe alivyo Mungu, na sio wana wake kihalisi. Kwa kuwaita "miungu" na "wana wa Aliye juu," Yahwe anakiri kuwa amewapa uwezo mkuu na mamlaka.

wana wa Aliye juu

Yahwe anajizungumzia mwenyewe kama "Aliye juu."

Hata hivyo

"Ingawa"

na kuanguka

Hii ni njia ya kuzungumzia mtu anayekufa.