O, kama watu wangu watembee katika njia zangu
Mungu kutaka watu kumtii inazungumziwa kana kwamba alitaka watu kutembea katika njia yake au mabarabara. "natamani kuwa watii sheria zangu"
geuza mkono wako dhidi
Hapa "mkono" inawakilisha uwezo wa yahwe. "nitawaangamiza" au "Nitawaangamiza"