sw_tn/psa/080/012.md

495 B

Taarifa ya Jumla:

Asafu anazungumza kwa niaba ya Israeli. Anaanza katika mstari wa 8 kuzungumzia jinsi Mungu alivyowaweka Israeli katika nchi yao kana kwamba Mungu alikuwa ni mtu anayesafisha ardhi ili kupanda mzabibu.

kuta zake

kuta za mawe, sio za mbao

nguruwe wa msituni

nguruwe pori wanaharibu bustani na mashamba na kuvamia watu.

msitu

ardhi ambapo kuna miti mingi

wanyama

hawa ni wanyama pori wa aina yoyote

shambani

ardhi ambapo kuna mimea mingi lakini hakuna miti