sw_tn/psa/079/010.md

769 B

Kwa nini mataifa yasema, "Yuko wapi Mungu wao?"

"Mataifa hayapaswi kusema, 'Yuko wapi Mungu wao?'"

Yuko wapi Mungu wao?

"Mungu wao hawezi kufanya chochote!"

Na damu ya watumishi wako iliyomwaga ilipizwe kisasi juu ya mataifa mbele ya macho yetu

Kumwaga damu ni njia nyingine ya kusema kuua watu wasio na hatia. "Walipize kisasi watumishi wako wasio na hatia ambao mataifa waliwaua ambapo tunaweza kukuona unapofanya hivyo."

mbele ya macho yetu

"machoni petu" au "wakati tupo"

Na kuguma kwa wafungwa kufike mbele yako

Asafu anazungumzia sauti ambayo wafungwa walitoa katika maumivu na huzuni kana kwamba alikuwa ni mtu aliyejitokeza mbele ya mfalme. "Sikiliza kwa usikivu kuguma kwa wafungwa na wasaidie"

wana wa mauti

"wale walio hukumiwa kufa"