sw_tn/psa/079/004.md

755 B

Tumekuwa chukizo kwa jirani zetu, kejeli na dhihaka kwa wale waliotuzunguka

Maneno "chukizo," "kejeli," na "dhihaka" ni njia zingine za kusema watu ambao wanachukiza, kejeli, na kudhihaki. "Tumekuwa watu ambao jirani zetu wanatuchukia; wale waliotuzunguka wanatukejeli na kutudhihaki"

Tumekuwa

Wanaozungumziwa ni watu wa Mungu.

dhihaka

kicheko kikubwa cha kumwaibisha mtu

Hadi lini wivu wako wa hasira utawaka kama moto?

"Inaonekana kana kwamba wivu wako wa hasira hautaacha kuwaka kama moto"

wivu wako wa hasira utawaka

Maneno "wivu wako wa hasira" unazungumzia kuwa na wivu na hasira. "utakuwa na wivu na hasira"

utawaka kama moto

Tashbihi hii inalinganisha kuonesha kwa hasira ya Mungu na moto unaoangamiza vitu. "utatuangamiza"