sw_tn/psa/078/060.md

542 B

Taarifa ya Jumla:

Mwandishi anaendelea kuelezea kile ambacho Mungu alifanya kwa watu wa Israeli.

Aliruhusu nguvu yake kushikwa na kuwapa adui utukufu wake katika mkono wao

Asafu anazungumzia nguvu ya Mungu na utukufu wake kana kwamba zilikuwa vitu ambavyo watu waliweza kushika na kubeba. Maneno "nguvu" na "utukufu" inawezekana kuwa ni njia nyingine ya kusema sanduku la agano. Neno "mkono" ni njia nyingine ya kusema uwezo wa adui. "aliwaruhusu adui zake kulishika sanduku tukufu la agano lake; aliwapa ili wafanye nalo walichotaka"