sw_tn/psa/078/052.md

324 B

Taarifa ya Jumla:

Mwandishi anaendelea kuelezea kile ambacho Mungu alifanya kwa watu wa Israeli.

kama kondoo ... kama kundi

Mwandishi anawazungumzia Waisraeli kana kwamba walikuwa kondoo. Hii inamaanisha kuwa Mungu aliwajali na kuwalinda watu kama mchungaji anavyofanya kondoo wake.

liliwalemea

"wafunika kabisa"