sw_tn/psa/078/044.md

885 B

Taarifa ya Jumla:

Mwandishi anaeleza alichokifanya Mungu.

makundi ya inzi

inzi wengi sana hadi ikaonekana kama wingu

yaliyo wameza

Inzi ziliwafanya Wamisri wakoswe furaha kama ambavyo wangekuwa kama zingewala Wamisri.

Akawapa panzi mazao yao na kazi yao kwa nzige

"Aliwaruhusu panzi kula mazao yao yote na kuwaruhusu nzige kula kila kitu walichofanyia kazi kupata"

enea

"walitanda kila mahali"

panzi

mdudu anayekula mimea mwenye miguu mirefu anayotumia kwa ajili ya kuruka

Aliwapa panzi mazao yao

Asafu anazungumzia mimea kama zawadi ambayo Mungu aliwapa panzi. "Aliwaruhusu panzi kula mimea yao"

kazi yao kwa nzige

"Aliwapa kazi yao kwa nzige." Asafu anazungumzia kazi ya watu kana kwamba ni zawadi ambayo Mungu aliwapa panzi. Neno "kazi" ni njia nyingine ya kusema mazao ambayo kazi yao ilipata. "Aliwaruhusu nzige kula mazao waliyofanyia kazi kupata"