sw_tn/psa/078/038.md

448 B

alisamehe udhalimu wao

"aliwasamehe ingawa walifanya matendo maovu"

alizuia hasira yake

Asafu anazungumzia hasira ya Mungu kana kwamba ni mtu mwenye hasira ambaye Mungu alimzuia kushambulia yule aliyemkasirisha. "hakuwaadhibu ingawa alikuwa amekasirishwa nao"

hakutikisa gadhabu yake yote

Asafu anazungumzia gadhabu ya Mungu kana kwamba ni mtu aliyelala ambaye Mungu alimruhusu kulala na hakumwamsha. "hakujiruhusu kuwakasirikia kabisa"