sw_tn/psa/078/023.md

652 B

aliamuru anga

Asafu anazungumzia anga kana kwamba ilikuwa ni mtu anayeweza kusikia na kutii amri za Mungu. "alizungumza na anga'

anga

Maana zinazowezekana ni 1) "anga" au 2) "mawingu."

kufungua mzlango ya anga

Asafu anazungumzia anga kana kwamba ni ghala lenye mzlango. "kufungua anga kana kwamba ni ghala"

Aliwanyeshea mana kwa ajili yao kula, na kuwapa nafaka kutoka mbinguni

Mistari hii miwili inazungumzia tukio moja.

Aliwanyeshea mana

"Alisababisha mana kudondoka kutoka angani kama mvua"

mkate wa malaika

Hii inazungumzia mana. "aina moja ya chakula ambayo malaika hula"

chakula cha kutosha

"kiasi kikubwa cha chakula"