sw_tn/psa/078/009.md

246 B

Waefraimu ... siku ya vita

Hii inawezekana ni sitiari ya kutokutunza agano (mstari wa 10).

Waefraimu

"askari wa Efraimu"

walikuwa na pinde

Inawezekana kuwa askari walikuwa na mishale. "walikuwa na pinde na mishale kwa ajili ya silaha"