sw_tn/psa/077/010.md

316 B

Nilisema

Maana zinazowezekana ni 1) mwandishi wa zaburi alikuwa akijizungumzia mwenyewe au 2) mwandishi wa zaburi alikuwa akimzungumzia Yahwe.

kubadilika kwa mkono wa kuume wa Aliye juu kwetu

"Mkono wa kuume" ni njia nyingine ya kusema, uwezo, mamlaka au nguvu. "Aliye juu hatumii tena nguvu yake kutusaidia"