sw_tn/psa/076/011.md

274 B

kwake ambaye anapaswa kuogopwa

"Yahwe, ambaye wanapaswa kumwogopa"

Huzikata roho za wakuu

Msemo "Huzikata roho" ni lahaja inayomaanisha kuwa huvunja roho au huzinyenyekesha. "Huwanyenyekesha wakuu"

anaogopwa na wafalme wa duniani

"wafalme wa duniani wanamwogopa"