sw_tn/psa/076/006.md

280 B

Kwa kukemea kwako

"Ulipowakemea"

walisinzia

"walikufa" au "walianguka chini na kufa"

nani anaweza kusimama mbele ya macho yako unapokuwa na hasira?

"Hakuna mtu anayeweza kusimama machoni pako unapokuwa na hasira" au "Unaweza kumwangamiza yeyote ambaye una hasira naye"