sw_tn/psa/074/014.md

379 B

Taarifa ya jumla:

Asafu anaendelea kuzungumzia kile Mungu alichofanya zamani. Inawezekana anazungumzia wakati Mungu alipoitoa Israeli kutoka Misri na kuangamiza jeshi la Farao baharini.

lewiathani

Lewiathani ni mnyama wa baharini. Inaashiria adui mkatili.

Ulipasua chemchemi na vijito

"Ulisababisha chechemi na vijito kutiririka kutoka kwenye ardhi ngumu iliyo kauka"