sw_tn/psa/074/007.md

223 B

Taarifa ya Jumla:

Asafu anaendelea kuelezea uharibifu wa hekalu.

waliweka ... walisema ... walichoma

Hapa wanaozungumziwa ni maadui waliotajwa.

walisema mioyoni mwao

Hii ni lahaja. "Wakajiambia" au "wakajiwazia"