sw_tn/psa/073/013.md

970 B

Taarifa ya Jumla:

katika mistari ya 13 na 14, Asafu anaendelea kueleza ambavyo wakati mwingine anataka kulalamika kwa Mungu kuhusu wale ambao wana "kiburi" na "waovu". katika mstari wa 15 anaanza kuzungumza kuhusu kile ambacho anakiwaza kweli.

nime

hapa anayezungumza ni Asafu.

ulinda moyo wangu

Asafu anazungumzia kulinda moyo wake kana kwamba analinda mji au jengo dhidi ya maadui. "nimekuwa na mawazo masafi"

kunawa mikono yako ndani ya pasipokuwa na hatia

Mwandishi anazungumzia usafi kama vile amenawa mikono yake kwa kutokua na hatia badala ya maji. "matendo yangu yamebaki masafi" au "nimenawa mikono yangu kuonehsa kuwa sina hatia"

siku nzima

"wakati wote"

nimeteseka

"uminifanya kuteseka."

kuadhibiwa

"nimepewa adhabu"

Kama ningesema, "nitasema vitu hivi," basi ningekuwa ninasaliti kizazi hiki cha wato wako.

Hii hali ya kubuni haikutokea. "Sijawahi kusema, 'nitasema vitu hivi,' kwa hiyo sikusaliti kizazi hiki cha watoto wako"