sw_tn/psa/071/019.md

560 B

Haki yako pia, Mungu, iko juu sana

Mwandishi wa zaburi anazungumzia vitu vizuri ambavyo Mungu amefanya kana kwamba viliwekwa pamoja kama jengo kubwa au mlima.

ni nani kama wewe?

Hili ni swali balagha linaloweza kutafsiriwa kama kauli. "hakuna mtu kama wewe!"

taabu saba

"taabu mbaya"

fufua

imarisha au kufanya kuishi tena

kutoka pande za chini ya dunia

"Pande za chini ya dunia" ni sitiari ya mahali ambapo watu huenda wanapokufa. Mwandishi wa zaburi hakuwa amekufa bado, lakini anazungumza kana kwamba alikuwa amekufa. "tunapokaribia kifo"