sw_tn/psa/069/024.md

357 B

Mwaga gadhabu yako juu yao

Mungu kuonesha hasira yake inaelezwa kana kwamba aliimwaga juu ya adui zake kama maji.

gadhabu

"hasira kali" au "hasira'

ukali wa hasira yako

"hasira yako ya moto" au "hasira yako kali"

uwapite

Hukumu ya Mungu kwa adui zake unaelezwa kana kwamba aliwafukuza na kuwashika.

iwe ya kuhuzunisha

"kuwa imetelekezwa"