forked from WA-Catalog/sw_tn
749 B
749 B
Acha meza yao mbele yao iwemtego ... acha iwe tanzi
Mwandishi angependa kuona chakula cha adui zake kinawaharibu kabisa kana kwamba ni wanyama wadogo walionaswa katika mtego au tanzi. "Na chakula chao kiwaharibu kama mtego ... na kiwaangamize kama tanzi"
meza yao
Hii inamaanisha chakula kilichowekwa mezani, inawezekana katika karamu. "chakula chao wenyewe" au "karamu za sadaka"
Acha macho yao yatiwe giza
Mwandishi anazungumzia macho yasiyoweza kuona vizuri kana kwamba yametiwa giza. "Tafadhali uwafanye wasiweze kuona kitu"
ufanye viuno vyao vitetemeke
Migongo midhaifu inazungumziwa kana kwamba inatetemeka katika udhaifu. "sababisha migongo yao kuwa minyonge kwao kufanya lolote"
viuno vyao
"pembeni kwao" au "migongo yao"