sw_tn/psa/069/010.md

823 B

Nililia na sikula chakula

Ukweli kuwa mwandishi alikuwa akifunga inaashiria kuwa alikuwa na huzuni kuhusu jinsi watu walivyolitendea hekalu la Mungu.

walinidhihaki

"adui zangu walinilaumu kwa sababu yake"

nilipofanya magunia kuwa mavazi yangu

Kuvaa vnguo mbaya, za thamani ndogo ni ishara ya kuomboleza juu ya dhambi.

nikawa kitu cha mithali

Mwandishi anajizungumzia kana kwamba alikuwa ndiye mtu mwenye huzuni au mpumbavu katika mithali. "nikawa mfano wa mtu mwenye huzuni anayezungumziwa katika mithali" au "wananicheka"

Wale wanokaa katika lango la mji

Hapa "lango la mji" unahusishwa na uongozi wa mji. "Watu muhimu wa mji"

mimi ni wimbo wa walevi

Mwandishi anajizungumzia kana kwamba alikuwa ndiye mtu ambaye walevi walimkejeli kwa myimbo. "walevi wa mji wanaimba nyimbo za kuudhikunihusu mimi"