sw_tn/psa/068/026.md

250 B

Mbarikini Mungu katika mkusanyiko; msifuni Yahwe, nyie uzao wa kweli wa Israeli

"Nyie ambao ni kizazi cha kweli cha Israeli, msifuni Yahwe na mbarikini Mungu katika kusanyiko.

makundi yao

"kundi lao." Neno "lao" linamaanisha viongozi wa Yuda.