sw_tn/psa/068/014.md

858 B

aliwatawanya wafalme huko ... anguka theluji juu wa mlima Salmoni

Kuna wafalme na askari wengi sana waliokufa katika mlima hadi wanazungumziwa kana kwamba ni theluji iliyofunika mlima. "aliwashinda wafalme na askari wengi sana huko hadi wakawa kama chembe za theluji imefunika mlima Salmoni."

aliwatawanya wafalme

Hapa "wafalme" inamaanisha majeshi pia. "aliwatawanya wafalme adui na majeshi yao"

mlima Salmoni

HIli ni jina la mlima.

Mlima mkuu ni ... mlima wa juu ni

Misemo hii miwili inamaana za kufanana na inatumika pamoja kuimarisha nyingine. "mlima mkuu na wa juu ni nchi ya kilima cha Bashani"

Kwa nini unaangalia kwa wivu ... kwa ajili ya sehemu atakayoishi?

Swali hili linawezakuandikwa kama kauli. "Nchi ya kilima cha juu cha Bashani hakitakiwa kuangalia kwa wivu mlima wa ambao Mungu anatamani kwa ajili ya sehemu atakayoishi."