forked from WA-Catalog/sw_tn
859 B
859 B
Umetuleta kwenye wavu
Mwandishi anazungumzia adhabu ya Mungu kana kwamba Mungu aliwashika watu wake katika wavu.
wavu
mtego kwa ajili ya ndege au mnyama
umeweka mzigo mkubwa viunoni mwetu
Mwandishi anazungumzia kile ambacho watu wamestahamili kama kulazimika kubeba mizigo mizito migongoni mwao.
Umewafanya watu kuendesha juu ya vichwa vyetu
Hii ni picha ya kushindwa vibaya vitani. "Ni kana kwamba adui zetu wametushinda vitani na wameendesha vibandawazi vyetu juu ya miili yetu iliyoanguka"
tulipita katika moto na maji
Mungu aliwajaribu kwa maafa ya asili kama moto na mafuriko. "tuliteseka kama watu wanavyoteseka kutokana na moto na mafuriko"
sehemu yenye nafasi
Mwandishi anazungumzia baraka walizonazo sasa watu wa Israeli kana kwamba wameletwa katika nafasi kubwa ya wazi ambapo wako salama. "nafasi ya wazi ambapo tuko salama"