forked from WA-Catalog/sw_tn
413 B
413 B
wamenoa ndimi zao kama panga
Mwandishi anazungumzia ndimi wa adui zake kana kwamba zilikuwa zimechongeka kama panga. Hapa "ndimi" inawakilisha maneno makali ambayo aduizake wamezungumza. "Vitu vikali wanavyosema vinaniumiza kama upanga mkali"
mishale yao, maneno machungu
Mwandishi anazungumzia maneno machungu ya adui zake kana kwamba ni mishale inayopigwa kwake. "maneno machungu yanayonichoma mishale"