sw_tn/psa/063/011.md

329 B

mfalme

Daudi anajizungumzia mwenyewe. "Mimi, mfalme wa Israeli"

anayeapa kwake ... atajivunia naye

Neno "kwake" inamaanisha Mungu.

lakini mdomo wa wale wanaozungumza uongo utasitishwa

Hapa "mdomo" inamwakilisha mtu mzima. "lakini Mungu atawanyamazisha waongo wote" au "lakini Mungu atawanyamazisha wale wanaodanganya"