forked from WA-Catalog/sw_tn
385 B
385 B
Mungu wangu atakuna na mimi
Mungu kumwokoa mwandishi wa zaburi inazungumziwa kana kwamba Mungu alikuwa anatakiwa kukutana naye. "Mungu wangu ataniokoa"
hamu yangu kwa adui zangu
"nachotaka kitokee kwa adui zangu"
Watawanye
"Wasababishe wazurure"
ngao yetu
Mungu kumlinda mwenye haki inazungumziwa kana kwamba Mungu ni ngao. "mlinzi wetu" au "yule anyetulinda kama ngao"