sw_tn/psa/045/014.md

733 B

Taarifa ya Jumla:

Mwandishi anaendelea kuzungumza kuhusu malkia lakini anaanza kwa kuzungumza na mfalme kwanza.

Ataongozwa kwenda kwa mfalme na nguo ya tarizi

"Watu watamwongoza kwenda kwa mfalme akiwa amevaa nguo ya tarizi"

tarizi

mtindo ulioundwa kwa kushona nyuzi za rangi kwenye nguo

wanawali, wenzake wanaomfuata, wataletwa kwako

Hapa neno "kwako" inamaanisha mfalme. "watu watakuletea wanawali, wenzake wanaomfuata"

Wataongozwa kwa furaha na shangwe

Msemo huu unaeleza "furaha na shangwe" kama mtu anayewaongoza wengine kusherehekea. "Furaha na shangwe zitawaongoza" au "Wataenda kwa furaha na shangwe"

furaha na shangwe

Maneno haya mawili yana maana moja na yanasisitiza ukali wa furaha. "furaha kubwa"