sw_tn/psa/042/005.md

835 B

Kwa nini umeinama chini, nafsi yangu? Kwa nini umefadhaika ndani yangu?

Mwandishi jizungumzia undani wake kama "nafsi" yake. Anajiuliza maswali haya kujikemea. "Sitakiwi kuinama chini. Sitakiwa kuwa na wasiwasi"

umeinama chini

Mwandishi anazungumzia huzuni au kukata tamaa kana kwamba nafsi yake imeinama. "kukata tamaa"

Mtumaini Mungu

Mwandishi anaendelea kuzungumza na nafsi yake na kuiamuru kumtumaini Mungu.

Mungu wangu, nafsi yangu

Mwandishi anaanza kuzungumza na Mungu kuhusu nafsi yake.

Nina kuiitisha akilini

Msemo huu unamaanisha kukumbuka au kuwaza kuhusu kitu. "Nina kuwaza"

nchi ya Yordani

Hii inaweza kumaanisha Israeli ya kaskazini, ambapo mto Yordani huanzia. "nchi ambayo mto Yordani huanzia"

vilele

juu ya milima

kilima cha Mizari

Hili ni jina la kilima kwenye kitako cha mlima Hermoni.