forked from WA-Catalog/sw_tn
1012 B
1012 B
Lakini wewe, Yahwe, unahuruma kwangu na unaniinua
Hili ni ombi. "Tafadhali, Yahwe, uwe na huruma kwangu na niinue"
unaniinua
Hii inamaanisha kumwinua kutoka kitandani, au kumponya kutoka kwenye ugonjwa wake.
ili niweze kuwalipa
Mwandishi anazungumzia kisasi kwa adui zake kana kwamba ni kuwalipa anachodaiwa. "ili kwamba nilipe kisasi kwao"
Kwa hili najua kuwa unafurahishwa na mimi, kwa kuwa adui wangu hanishindi
Neno "hili" inamaanisha kile ambacho mwandishi atasema baadaye. "Kwa sababu adui wangu hanishindi, natambua kuwa unafurahishwa na mimi"
Kwa hili najua kuwa unafurahishwa na mimi, kwa kuwa adui wangu hanishindi
"Ukiniwezesha kutenda hilo, kwa matokeo ya adui zangu kushindwa kunishinda, nitajua kuwa umefurahishwa na mimi"
unanibeba katika uadilifu wangu
"unanilinda kwa sababu ya uadilifu wangu"
utaniweka mbele ya uso wako
Mwandishi anazungumzia kuwa katika uwepo wa Yahwe kama kuwa sehemu ambayo Yahwe anaweza kumuona na kuona uso wa Yahwe. "utaniweka pamoja na wewe"