sw_tn/psa/038/013.md

397 B

Niko kama kiziwi ... sisikii ... asiyesikia

Mistari ya kwanza ya mstari wa 13 na 14 inatumia tashbihi kuwakilisha picha moja ya mtu kiziwi. Mwandishi anaumwa sana hadi hasikii.

Mimi ni kama bubu ... hasemi kitu ... hana jibu

Mistari ya kwanza ya mstari wa 13 na 14 inatumia tashbihi kuwakilisha picha moja ya mtu bubu. Mwandishi anaumwa sana hadi hazungumzi.

bubu

mtu asiyeweza kuongea