forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
763 B
Markdown
20 lines
763 B
Markdown
# Waovu
|
|
|
|
Hii inamaanisha watu waovu. "Watu waovu"
|
|
|
|
# wametoa upanga wao ... wamekunja upinde wao
|
|
|
|
"Upanga" na "upinde" zote ni silaha zinazotumika kushambulia watu. Kitendo kwamba zimetolewa na kukunjwa inamaanisha kuwa wako tayari kushambulia. "wameandaa silaha zao ili kushambulia"
|
|
|
|
# kuwatupa chini
|
|
|
|
Uharibifu wa watu wahitaji unazungumziwa kana kwamba ni vyombo vya udongo vinavyoweza kuvunjika katika vipande vikitupwa chini. "kuwaangamiza"
|
|
|
|
# waliokandamizwa na wahitaji
|
|
|
|
Misemo hii inamaana watu wale wale wasio na uwezo wa kujilinda. "watu wasio weza kuwapinga"
|
|
|
|
# Panga zao zitachoma mioyo yao wenyewe
|
|
|
|
Panga ni mfano wa silaha na "mioyo" inawakilisha watu. "Kuchoma moyo" ni lahaja inayomaanisha "kuua." "Silaha zao zitageuzwa kwao na watajiua wenyewe"
|