sw_tn/psa/036/003.md

290 B

Maneno yake ni

Hii inamaanisha kauli zake. "Anachosema ni"

kufanya mema

"kufanya vitu ambavyo ni vyema"

anaenda katika njia ya uovu

Vitendo vya dambi vyamtu vinazungumziwa kana kwamba alikuwa akitembea kwenye njia ambayo ilikuwa na uovu.

hapingi uovu

"hapingi tabia za uovu"